Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

JOSE MOURINHO amefanya usajili wa pili tangu kujiunga na Chelsea kwa kumsajili kiungo wa kidachi Marco van Ginkel.

Chelsea wamethibitisha asubuhi hii kwamba wamekubaliana ada ya uhamisho, ambayo inaaminika kufikia kiasi cha  £8million, na klabu ya Vitesse Arnhem kwa kwa ajili ya kupata saini ya kiungo huyo anayesifiwa mno na wachambuzi wa soka barani ulaya.

Kilichobaki sasa ili kukamisha usajili huo ni kwa Van Ginkel kufanyiwa vipimo vya afya na makubaliano ya maslahi binafsi, ingawa haya hayaonekani kuja kuwa kikwazo.

MUANGALIE VAN GINKEL HAPA

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top