Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


 
http://api.ning.com/files/6CH3u8z0zqay46L7xl7793vyhnfCKYv5KLIC1LTE*dXJa9Yi8bwiaV2R8XMd3B-D3QsYRm-Iks9GqLtKbVCSS18TFcv2M9gi/JiniKabula46.JPGIsabela Mpanda ‘Bela’ na Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’
Kina dada wanaounda Kundi la Scorpion Girls, Isabela Mpanda ‘Bela’ na Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ wametofautiana hadi kufi kia hatua ya kutukanana na kutupiana nguo nje.

Mpango mzima ulitokea hivi karibuni Kijitonyama jijini Dar, nyumbani kwa Isabela ambapo chanzo cha ugomvi huo ni baada ya Isabela kumsifia mtandaoni X-memba wa kundi lao, Jacqueline Pentezel ‘Jack wa Chuz’ kwa kununua gari, ndipo Kabula alipokasirika na kuanza kumtukana Bela na mama yake matusi ya nguoni.

 
 
 
 
 
 
 
“Sikumuelewa kabisa Jini, kumsifi a Jack kuhusu kumiliki gari ndiyo kumemfanya anitukane? Iliniuma sana na sitamsamehe, bora kila mtu achukue hamsini zake, nguo zake nilimtupia nje,” alisema Bela na kusisitiza kufanya muziki peke yake kwa sasa.

Alipotafutwa Jini Kabula kuhusiana na sakata hilo, simu yake iliita bila kupokelewa achilia mbali kujibu ujumbe wa BBM ambao alitumiwa na mwandishi wetu

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top