Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Silaha hatari kama kawaida yao wakianza taratibu.....Mpera Mpera tu
hadi kieleweke''


Haya sasa ni mwendo wa nyoka nyoka tu.......
wataelewa sasa hivi au wataelewa baadae...?




Rama Mpauka akimseti roboti wake 
ikafika time ya the prezident kuingia........
Nikistaajabishwa na shangwe na umati wa watu waliokuwa
wamefurika uwanjani pale pale tu nilipotokea uwanjani



....hapo sasa yanii....afe kipa afe beki lakini ushindi lazima....



Kaskazini mwa uwanja wa ccm kirumba umati
 wa watu waliofurika wakishuhudia
 amsha amsha ya wasafi





nimpende nani sasaaa...........???

Aya sasa....Nilikuwaga na nani zamani.....???? Alafu akafanyaje.....??
Leo nataka mtoto wa mwanza kunitibu maradhi nayougua


hakika nilikumbuka kigoma............





siwasikii..etiii??






haya twende sasa mashetani yashanianza.............

aaah..wosaaa aiiiii.....wosaaaaaa...ha ha ha ..vijana
wangu wakinipandisha mizuka

Ndiyo kusema nani amenunaa??nani
 amenunaaa??siwasikii..nani...??


Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top