WAKATI vifo vikizidi kuwatafuna wasanii, staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa hawezi kuishi miaka mingi, atakufa mapema.
“Daah! Sijielewi kabisa yaani kwa jinsi ambavyo najiona, nikifikisha miaka 40 ni bahati aisee, dunia sasa imebadilika sana,” alisema Aunt.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment