Moja kati ya maneno yaliyomo katika nyimbo hii ni’’malaya wenye viwango wapo bongo movies’’Ney wa mitego alisema’’Sijakosea kuwaimba bongo movies kwani ni kitu ambacho nina ushahidi nacho kabisa,nilisahawahi kushuhudi hawa super stars wakijiuza kwa rafiki yangu anaeishi brazil,na walikua watatu.
Na kila mmoja alitaja bei yake yani kitu cha kusikitisha sana,unajua mimi huwa siropoki bali huwa nasema sana ukweli kwenye kila kit
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment