NTV Kenya wanakwambia kuna mwanamume mmoja wa makamu kutoka Jimbo la Kiambu yuko mahututi katika hospitali ya wilaya ya Kiambu baada ya kupewa kichapo cha mbwa mwizi na wananchi kisa alifumaniwa katika zizi la wenyewe akimchafua ng’ombe mwenye mimba usiku wa kuamkia leo.
Mwanaume kafumaniwa akifanya mapenzi na Ng’ombe.Tazama Video hapo chini.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment