Kwa hapa Tanzania yalifululiza matukio ya mauaji kwenye foleni Sinza na Kinondoni miezi zaidi ya miwili iliyopita lakini siku tatu zilizopita taarifa kuhusu risasi kupigwa zilipatikana baada ya raia mmoja Mtanzania kupiga risasi matairi ya gari iliyomgonga na kutishia kumuua aliekua anaendesha.
June 19 2013 mtandao wa GG Marekani umeripoti kwamba msanii Lil Snupe ambae alikua chini ya rapper Meek Mill wa Maybach Music ya Rick Ross, amekutwa ameuwawa kwa kupigwa risasi.
Meneja wake ndio alithibitisha kifo cha rapper huyu aliefariki dunia akiwa na umri wa miaka 18 ambapo inadaiwa aliemuua ni rafiki yake ambae wamekua wakifanya mambo mengi pamoja.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment