MSANII wa filamu aliyeibukia kwenye Shindano la Maisha
Plus, Jack Dustan ‘Jack wa Maisha Plus’ hivi karibuni aliwashangaza watu baada
ya kuvaa kigauni ambacho mara kadhaa alipopozi aliacha wazi sehemu zake
nyeti.
Jack akiwa kaacha nje nyeti zake (sehemu
iliyozibwa).
Tukio hilo lilinaswa na mwandishi wetu ndani ya Ukumbi
wa Sun Ciro, Ubungo jijini Dar kulikokuwa na uzinduzi wa Shindano la Kigori wa
Tanzania ambapo Jack alikuwa ameongozana na rafiki yake, jina lake
halikufahamika.
Akiwa ukumbini hapo, mwanadashosti huyo aliyeonekana
kula kilevi cha bei mbaya, alikuwa akiwatoa udenda wanaume kutokana na kigauni
chake hicho kifupi hadi wengine kufikia hatua ya kumchana kuwa, alijichoresha
kwa kutovaa ‘kufuli’.
...Jack baada ya kubadili mkao.
“Huyu naye! Ndo nini sasa kutovaa kufuli kwenye
kadamnasi? Wasanii wetu bwana,” alisikika kijana mmoja huku Jack akionesha
kutojali.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment