Umeweka picha mwenyewe, picha mbaya unaonyesha maungo na sehemu zako za siri zikiwa wazi....Watu wana comment na kukuomba uwape
hisani,unachukia na kuanza kuwapa matusi ya nguoni wakaka wa watu wakati umewa-invite mwenyewe kwa aina ya picha uliyoi-post...i nashangaza
Uliona wapi mmachinga anawatukana wateja wake kwa kuulizia bei ya gauni alilotundika??? Think before you act,theway you dress is the way people will address you,a bitch cant wear a Virgin marry type of clothes.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment