Baada ya miezi kadhaa sasa Wema Sepetu kutokuwa na filamu mpya sokoni,
kwasasa anakuja na filamu mpya inayoandaliwa na Simon Mwapagata(Rado)
ambaye pia ni muigizaji katika filamu hiyo. Filamu hiyo inarekodiwa
jijini Dar es salaam na pia scenes nyingine zitachukyuliwa jijini Tanga.
Waigizaji wengine katika filamu hiyo ni pamoja na Sudi Ali na
Deogratious Shija. Look at behind of the scenes of the movie...........
Images by bongomovies
Images by bongomovies
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment