Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Baada ya miezi kadhaa sasa Wema Sepetu kutokuwa na filamu mpya sokoni,  kwasasa anakuja na filamu mpya inayoandaliwa na Simon Mwapagata(Rado) ambaye pia ni muigizaji katika filamu hiyo. Filamu hiyo inarekodiwa jijini Dar es salaam na pia scenes nyingine zitachukyuliwa jijini Tanga. Waigizaji wengine katika filamu hiyo ni pamoja na Sudi Ali na Deogratious Shija. Look at behind of the scenes of the movie...........

Images by bongomovies

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top