Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Tangu Diva atangaze hadharani uhusiano wake na Rapcellency, Prezzo, kwa mujibu wake amekuwa akipokea tsunami za simu kutoka kwa waandishi kutoka nchini mbalimbali barani Afrika kufanya naye interview.
Waliokuwa hawamfahamu Diva sasa wanamfahamu ‘like that girl next their doors’ kupitia Prezzo.

Prezzo anafahamu thamani yake na anasema kila kitu anachokigusa hugeuka dhahabu. Akijibu tweet ya mtu aitwaye Alvin Wandat, isemayo, “So apparently,dating @AMB_Prezzo gets you booked for interviews all over africa,dude,you must be loving the moment,” Prezzo ametweet, “ Anything I touch turns to Gold apart frm butterfly’s :-D 4got wht they are called in Swahili.”

source:bongo5

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top