Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

mwana FA na meneja SAMSUNG nchini TANZANIA
Kulia ni meneja wa SAMSUNG tanzania kishor kumor na kushoto ni mkuu biashara kwa ukanda wa afrika mashariki na kati manoj changarampatt na mwana FA
Msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya 'bongoflave' Hamisi mwijuma'mwana FA' akitoa shukran kwa heshima hiyo aliyopewa na samsung tanzania kwa kuwa balozi wasamsung s4 tanzania simu ambazo zinaongoza kwa mauzo duniani kote kwa wiki 3 wameshauza simu milioni 10.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top