Mkono wa Fikiri Haus 13
uliounguzwa unavyo onekana
kwa karibu huo ni ukatiri ulio kithiri
uliounguzwa unavyo onekana
kwa karibu huo ni ukatiri ulio kithiri
Mtoto Fikili Hausi Mwanafunzi
wa Darasa la Tatu Shule ya
Msingi ya Majengo Mansipaa
ya Songea akiwa amelazwa
Hospitali ya Mkoa baada ya
Kunguzwa Moto na Mama yake.
wa Darasa la Tatu Shule ya
Msingi ya Majengo Mansipaa
ya Songea akiwa amelazwa
Hospitali ya Mkoa baada ya
Kunguzwa Moto na Mama yake.
Jeshi la Police lina endelea
kumtafuta mama yake Fikili Hausi
kumtafuta mama yake Fikili Hausi
watanzania kila siku inafanya
makongamano ya kuzuia vitendo
vya ukatili dhidi ya watoto na
mama, je kitendo kama hiki
watanzania tunaenda wapi
na hikiwa watoto ndio Taifa la kesho?
WAKINA MAMA MUWE NA HURUMA KWA WATOTO ZETU
Picha na hisia za Mwananchi Blog
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment