Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This




Mkono wa Fikiri Haus 13 
uliounguzwa unavyo onekana 
kwa karibu huo ni ukatiri ulio kithiri



Mtoto Fikili Hausi Mwanafunzi 
wa Darasa la Tatu Shule ya
 Msingi ya Majengo Mansipaa
 ya Songea akiwa amelazwa 
Hospitali ya Mkoa baada ya
 Kunguzwa Moto na Mama yake.



Jeshi la Police lina endelea 
kumtafuta mama yake Fikili Hausi

                                               Msomaji hebu angalia Jamii ya
                                                   watanzania kila siku inafanya
                                             makongamano ya kuzuia vitendo 
                                            vya ukatili dhidi ya watoto na 
                                           mama, je kitendo kama hiki
                                      watanzania tunaenda wapi 
                                      na hikiwa watoto ndio Taifa la kesho?
WAKINA MAMA MUWE NA HURUMA KWA WATOTO ZETU
Picha na hisia za Mwananchi Blog

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top