Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Matundu matatu ya risasi katika kioo cha gari lililovamiwa na majambazi.
Wanausalama barabarani wakichukua taarifa eneo la tukio.
Gari aina ya Toyota Vitz lililovamiwa na majambazi.
Wananchi wakiwa eneo la tukio.
Trafiki akielezea jambo baada ya tukio hilo.
Baadhi ya wananchi waliokusanyika kushuhudia tukio hilo.
Majambazi yaliyokuwa na silaha aina ya SMG yakiwa na pikipiki aina ya Bajaj Boxer yamevamia gari ndogo aina ya Toyota Vitz yenye namba za usajili T 929 CCX na kuwajeruhi watu wawili wenye asili ya Asia waliokuwa ndani yake na kuwapora furushi la fedha ambazo mpaka sasa bado haijafahamika ni kiasi gani. Tukio hilo limetokea eneo la Sayansi-Kijitonyama jijini Dar es Salaam.
(PICHA: RICHARD BUKOS NA MUSA MATEJA/GPL)

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top