Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
  Liemba ikiwa imeweka nang'a katika bandari ya kigoma ikiwa imetoka zambia
meli hii kwasasa inafanya kazi kwa mwezi mara mbili kutoka kigoma kwenda mpulungu zambia wakati wa awali meli hii ilikuwa inafanya kazi mara moja kwa wiki zilikuwa zinapisha na muongozo moja ikitoka kigoma nyingine inatoka zambia lakini kwa sasa hali imekuwa ngumu abilia wanakuwa wanaisubili meli hiyo ndani ya wiki mbili ili kuanza safari ya kuelekea zambia


 MV LIEMBA ililetwa na wakoloni wa kijerumani mnamo miaka mia imepita tangu wailete nakuanza kufanya kazi yakusafirisha abilia kutoka kigoma na zambia .imeletwa kigoma mwaka 1914 ndipo ilipowasili kigoma
HII ni MV MUONGOZO meli iliyokuwa inafanya safari ya kwenda burundi kwasasa haifanyi safari zozote zile

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top