Muda mfupi uliopita spika wa bunge, Anna Makinda amelazimika kusitisha
shughuli za bunge mwanzoni tu mwa hotuba ya kambi rasmi ya upinzani
iliyokuwa ikisomwa na waziri kivuli wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni
na Michezo, Joseph Mbilinyi aka Sugu.
“Tanzania imegeuka chini ya
usimamizi wa wizara ya serikali hii ya CCM kuwa taifa linaloteka nyara
wanahabari, kuwatesa, kuwangoa kucha na meno, kuwatoboa macho,
kuwamwagia tindikali na hata kuwaua.”
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment