Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
 
Amanda Bynes amshambulia Rihanna kupitia ukurasa wake wa twitter na kusema kuwa Chris Brown alimpiga kwasababu ni mbaya..hakijajulikana ni kitu gani kilichomfanya awe na hasira na Rihanna

 
Amanda alitweet na kufuta haraka  "@rihanna Chris Brown beat you because you're not pretty enough." na baada ya kuandika hicho aliendelea kwa kuandika maneno ya kashfa kuhusu kutaka kumuita mbwa wake Rihanna
baada ya tweets hizo Rihanna alimjibu kwa kuandika " Ya see what happens when they cancel intervention?"
Amanda amemjibu Riri na akafuta

"@rihanna unlike ur fugly faced self I don't do drugs! U need the intervention dog! I met ur ugly face in person! U aren't pretty u know it!"

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top