Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Mwanaume mmoja Ndomo  Mwandu Mkoani Katavi amemkata mkewe Agnes Sikazwe masikio  kutokana na wivu wa kimapenzi.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi Dhahiri Kidavashari alisema tukio hilo lilitokea Novemba 8 mwaka huu majira ya saa sita usiku nyumbani kwa wanandoa hao.

“Kabla ya ugomvi wanandoa hao walikua na ugomvi w amara kwa mara uliokua umedumu kwa muda mrefu na chanzo cha ugomvi huo ni kwamba mwanaume alikua kimtuhumu mkewe kuwa na mahusiano na mwanaume mwingine kijijini hapo.

Siku ya tukio wanandoa hao walikua wamelala lakini baadaye mwanaume alimvizia mkewe akiwa usingizini na kumkatamasikio huku akilalamika bado anaendelea na mahusiano na mwanaume mwingine.

Baada ya tukio hilo mwanamke huyo alipiga kelele kuomba msaada kwa majirani.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top