Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


katika hali hisiyo ya kawaida kwa sisi watanzania si rahisi kuwa na wanawake wengi na wote kuwapeleka kwa wazazi wako na wakafuraia. hii imetokea kwa mama diamond ambaye kiukweli ameonyesha uzaifu 

mkubwa kama mama baada ya mama yake kushindwa kuonyesha heshima yake pale mwanaye anapo changanya wanawake. jamani ebu tujiulize huyu mama anaupendo kwa mwanaye kweli lakini haya yote yanatokea yawezekana ni kutokana na kukosa ushauri wa wazazi wote wawili yani baba na mama ila kiukweli mama
 
yake star huyo abadilike hii kitu anacho fanya mwanaye si kweli na yeye anabidi achukie tabia hiii.


alikuwa na penny,wema,joketi,na zari wote kawatambulisha kwa mama yake

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top