Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This



Hii ni list ya wachezaji matajiri zaidi duniania mabao wapo kwenye kinyang'anyiro cha kuwania kombe la dunia kule nchini bazili


10. Gianluigi Buffon timu yake ya taifa ni  Italy anautajiri wa dola za kimarekani  $50 million 




9. Fernando Torres anaichezea Spain anautajiri wa dola za kimarekani $50 million

 


8. Steven Gerrard ni kiungo wa  England ana utajiri wenye thamani ya dola za kimarekani $55 million 





  7. Frank Lampard anaichezea timu ya England anautajiri wenye thamani ya dola za kimarekani  $60 million




6. Yaya Toure timu yake ya taifa ni Ivory Coast ana utajiri wa dola za kimarekani $70 million

 


5. Samuel Eto’o timu yake ya taifa ni Cameroon ana utajiri wa dola za kimarekani  $75 million 





4. Didier Drogba anaichezea Ivory Coast ana utajiri wa dola za kimarekani  $90 million
 




3. Wayne Rooney anaichezea  England akiwa na utajiri wa dola za kimarekani  $95 million 




2. Lionel Messi timu yake ya taifa ni  Argentina anautajiri wenye thamani ya dola za kimarekani $180 million 





1. Cristiano Ronaldo timu yake ya taifa ni  Portugal — anautajiri wa dola za kimarekani  $230 Million 

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu BONYEZA HAPA

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top