Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mr Lover Man kwa sauti ya IK, Idris Sultan ameamua kuchagua moja (kwa sauti ya Fid Q).

Baada ya kubadilisha title na kuwa milionea, Idris ameamua kumleta nyumbani mrembo wa Afrika Kusini, Samantha au kwa lugha ya vijana wa kisasa ameamua kumfanya ‘main chick’ na kutuachia kitendawili kama Goitse Kgaswane wa Botswana na Ellah wa Uganda watakuwa ‘side chicks’ ama wamepokea kibuti rasmi. 


Shocked by the size of this pineapple though. I feel like my whole life has been a lie. #tanzanianthingspic.twitter.com/MT9eAOP6PA


— Samantha BBA HotShot (@SamanthaJay17) December 16, 2014


Samantha alitua Dar Jumatatu hii na mwenyeji wake amekuwa akimzungusha kwenye kwenye maeneo muhimu ya mji huu wenye joto kama jangwa la Kalahari. Na Samantha ameweka wazi rasmi kuwa anaipenda Tanzania. 

Tanzania nakupenda Sana

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top