Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mwili wa wa kijana anayedaiwa kuwa kibaka aliyenaswa kwenye nyumba ya mtu ukiwa umeteketea kwa moto.

Wananchi waliokuwa eneo la tukio wakishuhudia kwa karibu tukio hilo.


KIJANA mmoja (jina halikufahamika) anayedaiwa kuwa kibaka ameuawa kwa kuchomwa moto baada ya kukamatwa jana maeneo ya Tabata-Kimanga jijini Dar es Salaam akiwa nyumbani kwa mtu. Kijana huyo alichomwa moto na wananchi wenye hasira kali dhidi ya wahalifu wa aina hiyo.

CREDITS; GPL

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top