Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Abnu Qatada alikabiliwa na tuhuma za kupanga njama ya mashambulizi ya kigaidi nchini Jordan

Mahakama nchini Jordan haijampata na hatia ya tuhuma za kigaidi Mhubiri wa kiisilamu anayesemekana kuhubiri itikadi kali Abu Qatada.

Jopo la majaji wa kiraia waliokuwa katika mahakama hiyo, hawakumpata na hatia yoyote bwana Qatada kutokana na madai kuwa alihusika na njama iliyotibuliwa ya kushambulia sherehe za mwishoni mwa mwaka 2000.
Uamuzi huo umetolewa baada ya Abu Qatada kutopatikana na hatia mwezi Juni katika kosa lengine la kupanga njama ya mashambulizi mwaka 1998 nchini Jordan.
Abu Qatada alitimuliwa kutoka Uingereza mwezi Julai mwaka 2013 kwa madai ya kueneza itikadi kali.
>>>>bbc

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top