Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Jeshi la polisi Mkoa wa kipolisi Kinondoni, limefanikiwa kukamata viungo vya binadamu vikiwa kwenye mifuko ya plastiki katika maeneo ya Bunju eneo ambalo ni marufu kwa uchimbaji wa kokoto.



Viungo hivyo vilivyotambulika ni  kama vile miguu iliyokauka na mafuvu ya vichwa vya binadamu huku navyo vikiwa vimekaushwa.....

Jeshi la polisi lipo eneo la tukio kwa ajili ya uchunguzi zaidi

Tukio zima litakuijia hivi punde Endelea kutembelea
 kibonajoro blog..bonyeza hapa TUNAOMBA RADHI KWA PICHA...HIVI NDIVYO VIUNGO VYA BINADAMU VILIVYOKUTWA KWENYE MFUKO USIKU HUU JIJINI DAR ES SALAAM



UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331

 

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top