Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Msani mwenye jina kubwa kwenye tasnia ya filamu bongo Wastara Juma amaesema yupo tayari kuolewa na kuishi na mwanaume yoyote atakae jaliwa na mungu lakini ole wake anaetishia kuwa atakaemuoa atakufa atambue yeye sio mungu na dunia wote tunapita hivyo ahache vitisho visivyokuwa na maana 

Akifunguka kiafrika bila hofu yoyote amesema anaamini kila jambo linatokea ni mipango ya mungu na kwamba hakuna wakumtisha hapa chini ya jua maana wote tumeumbwa na mungu na kwake tutalejea
“Hakuna wakunitisha mimi namuogopa mungu tu maana ndio ananipa pumzi lakini sio binadamu mwenzangu natamka rasmi nipo tayari kuolewa na yeyote titakaependana nae na hakuna aja ya kuogopa vitisho vya mtu.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top