Meli ya mizigo ya Kampuni ya FB Matara
iliyokuwa inatoka Bukoba kwenda Mwanza ikiwa
na wafanyakazi kumi na shehena ya sukari
imezama ziwa victoria katikati ya visiwa vya
Kerebe na Bumbile.
Taarifa kamili itakujia baadaye
picha sio halisi ya hili tukio.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment